LEO Juni 20 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kutimua vumbi katika viwanja vitatu tofauti ambapo tayari Kagera Sugar wameanza kazi mbele ya Ihefu FC ni Uwanja wa Kaitaba.
Saa 10:00 Biashara United itamenyana na JKT Tanzania katika Uwanja wa Karume. Hii ni mechi ya mwisho kwa Biashara United katika uwanja wake wa nyumbani kwa msimu huu.
Saa 1:00 usiku Yanga SC watakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Mwadui FC, Uwanja wa Mkapa.
Saa 1:00 usiku Yanga SC watakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Mwadui FC, Uwanja wa Mkapa.