Azam FC

BREAKING: AZAM FC YAMPA DILI LA MIAKA MIWILI MCONGO AMBAYE NI MSHAMBULIAJI

admin July 31, 2021 4:43 pm


BREAKING: UONGOZI wa Azam FC leo Julai 31 imemtangaza nyota mpya Idrisa Sembombo raia wa Congo ambaye ni mshambuliaji. 

Nyota huyo amesaini dili la miaka miwili kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo inayotumia Uwanja wa Azam Complex. 

Ameibuka ndani ya Azam FC akitokea Klabu ya El Gouna ya Misri hivyo atakuwepo mpaka 2023.

Pia aliwahi kucheza ndani ya Klabu ya Nkana FC ambayo Mtanzania Hassan Kessy ambaye kwa sasa yupo Mtibwa Sugar aliwahi kuitumikia.

USAJILI UNAHITAJI AKILI UKIZUBAA UNAPIGWA ‘GUTY’ HUYOO SIMBA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply