KUELEKEA kwenye mchezo wa kesho Julai 11 kati ya Simba v Coastal Union, kocha wa Coastal Union amesema kuwa wapo kwenye nafasi mbaya hivyo watapambana kupata ushindi mbele ya Simba.
KUELEKEA kwenye mchezo wa kesho Julai 11 kati ya Simba v Coastal Union, kocha wa Coastal Union amesema kuwa wapo kwenye nafasi mbaya hivyo watapambana kupata ushindi mbele ya Simba.