Home video VIDEO: HAJI MANARA KUACHA KAZI SIMBA, AWAVAA WACHEZAJI

VIDEO: HAJI MANARA KUACHA KAZI SIMBA, AWAVAA WACHEZAJI

OFISA Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa ikiwa watafungwa tena na Yanga, Julai 25 atabwaga manyanga katika nafasi hiyo, pia amewaambia wachezaji kwamba Julai 3 walicheza kama wanadai vile. 

 

SOMA NA HII  VIDEO: SIMBA, TUNASHINDA MBELE YA YANGA, WACHEZAJI WOTE WAPO SAWA