Home video VIDEO: CHEKI TIZI LA MAANA LA YANGA NCHINI MOROCCO, SI MCHEZO

VIDEO: CHEKI TIZI LA MAANA LA YANGA NCHINI MOROCCO, SI MCHEZO

0

WAKIWA nchini Morocco mabingwa wa kihistoria Yanga wanaendelea kupiga matizi kwa ajili ya maandalizi kuelekea msimu wa 202/22 ambao unatarajiwa kuanza kukiwasha Septemba 29. 


Mechi ya ufunguzi ambayo ni ya Ngao ya Jamii kati ya Yanga na Simba inatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Septemba 25.