video

VIDEO: CHEKI TIZI LA MAANA LA YANGA NCHINI MOROCCO, SI MCHEZO

admin August 20, 2021 5:43 am

WAKIWA nchini Morocco mabingwa wa kihistoria Yanga wanaendelea kupiga matizi kwa ajili ya maandalizi kuelekea msimu wa 202/22 ambao unatarajiwa kuanza kukiwasha Septemba 29. 


Mechi ya ufunguzi ambayo ni ya Ngao ya Jamii kati ya Yanga na Simba inatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Septemba 25.

 

PAMOJA NA KUACHWA…FISTON AFUNGUKA HAYA KUHUSU ISHU YA KUUZWA KWA KISINDA UCHAGUZI UMEKWISHA, SASA NI MUDA WA KAZI KUENDELEA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply