video

VIDEO: MORRISON AMTOLEA UVIVU HAJI MANARA

admin August 28, 2021 1:43 pm

KIUNGO wa Simba, Bernard Morrison,amemjibu Haji Manara kupitia ukurasa wa Instagram baada ya kuwaomba Wananchi kujitokeza kwa wingi Uwanja wa ndege leo kumpokea Papaa Mopao ambapo Morrison aliamua kumtolea uvivu Manara kwa kusema kuwa kwa sasa amekuwa kiongozi wa watu kwenda mapokezi.


 Kesho kutakuwa na burudani kubwa Uwanja wa Mkapa ambapo atakuwepo Olomide katika kilele cha Wiki ya Mwananchi na utachezwa mchezo wa kirafiki kati ya Yanga dhidi ya Zanaco FC. 

 

PSG YATAJA BEI YA KUMUUZA MBAPPE KOFFI OLOMIDE AWASILI BONGO, APOKELEWA NA HAJI MANARA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply