NYOTA Aucho ambaye alikuwa anawindwa na Simba inaelezwa kuwa kwa sasa yupo kwenye rada za timu ya Yanga ambayo imepindua usajili wa nyota huyo ambaye na usajili wake inaelezwa kuwa umefika hatua nzuri na muda wowote anaweza kutambulishwa.
NYOTA Aucho ambaye alikuwa anawindwa na Simba inaelezwa kuwa kwa sasa yupo kwenye rada za timu ya Yanga ambayo imepindua usajili wa nyota huyo ambaye na usajili wake inaelezwa kuwa umefika hatua nzuri na muda wowote anaweza kutambulishwa.