Home Habari za michezo KUSANYA MTONYO KILA UNAPOFIKA KWENYE BANDA LA MERIDIANBET NDANI YA SABASABA…

KUSANYA MTONYO KILA UNAPOFIKA KWENYE BANDA LA MERIDIANBET NDANI YA SABASABA…

Meridianbet

Unataka pesa? Na shilingi ngapi unataka? Basi ni rahisi tuu, fika viwanja vya Saba Saba ndani ya Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania ambapo utakutana na duka la Meridianbet na watakuelekeza namna ya kupata pesa kirahisi ukiwa na Meridianbet Pekee.

Msimu huu wa Saba Saba mambo sio mengi sana, Meridianbet wamekuja na vitu vikubwa vitatu ikiwemo Sloti mashine ambazo mteja utaelekezwa jinsi ya kuzitumia na kutengeneza pesa, pia kuna kubashiri kwa kutumia USSD, yani kubeti bila bando ukiwa na simu kubwa au kitochi mahali popote wakati wowote kazi inakuwa ni kwako pekee.

Meridianbet ambao ndio kamouni ya kwanza ya ubashiri Tanzania wanakwambia wana zawadi kubwa na bonasi kubwa kwa washindi ambao watacheza michezo ya kasino na kupata pointi kubwa, na hivyo watapewa fursa ya kuzungusha Ruffle na sehemu ambayo ruffle yako itatua ndio zawadi utakayopewa.

Mfano wa zawadi hizo ni pamoja na tisheti ya Meridianbet, bonasi ya shilingi elfu 50 na shilingi laki moja, lakini pia kuna mizunguko ya bure mpaka 200, na mengine mingi. Unasubiri nini tembelea www.Meridianbet.co.tz.

Ukiachana na zawadi ambazo zinatolewa, pia wanakwambia pesa ipo endapo utaweza kucheza michezo ya kasino ya mtandaoni ikiwemo Sloti, Aviator, Poker, Roulette, na mingine mingi unasubiri nini kutimiza ndoto zako za kuwa bingwa?.

Kama unataka kupiga mkwanja mrefu muda ndio huu michezo ya kasino ya mtandaoni ipo mingi sana na ni kwa dau kuanzia la shilingi 200 pekee na unaweza kutimiza ndoto zako ambazo unaota kila siku ukiwa na Meridianbet.

Pata mizunguko 50 ya bure kucheza sloti na michezo ya kasino ya mtandaoni ukijisajili na Meridianbet. Jisajili kupitia link hii

Kama bado hujajiunga nasi ingia www.Meridiabet.co.tz na fuata maelezo ambayo watakuletea, au kwa USSD PIAGA *149*10# na uanze kufadika na boansi ambazo zinazotolewa na magwiji hawa wa ubashiri Tanzania.

Pia Kampuni hii wamekuja na kaulimbiu yao mpya msimu ambayo inajulikana kwa jila la “CHAGUA TUKUPE” wakimaanisha kuwa ukitaka ODDS KUBWA, zipo, machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana pale, mechi za mmuda wote zipo yani kila ukitakacho wanakupatia.

 Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka ya meridianbet uweze kucheza michezo ya sloti na kasino ya mtandaoni.

Duka letu linapatikana ndani ya Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania ukingia ndani utakutana na mtaalamu wa masuala ya ubashiri Bwana Sadiki ambaye atakueleza kila kitu kinachohusiana na Meridianbet kuanzia michezo ya kasino, bonasi watoazo na namna ya kujiunga kama bado hujajiunga.

Beti na Meridianbet mechi zote odds ni kubwa sana, usikose pia Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet yenye michezo rahisi ya sloti kama Poker, Aviator, Roulette.

Meridianbet kama Mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania wao ndio suluhisho kwa wewe mteja unayebashiri wala haina haja ya kuhangaika fika Saba Saba pale na Meridianbet wakupe unachohitaji wana zawadi kwaajili yako. Changamkia fursa muda ndio huu.

NB: Habari njema kwako, Meridianbet imesikia ombi la wengi imekuja na Jackpot kubwa ya mechi 13 kwa dau dogo la kuanzia 1,000/=TZS mshindi atajinyakulia donge nono la Tsh 85,000,000/= PIGA *149*10#

#MERIDIANBET CHAGUA TUKUPE

SOMA NA HII  MWAMUZI MECHI YA YANGA VS US MONASTIR...WANANCHI WAMEPATA ZALI KWA REFA HUYU...ASHIKILIA HATIMA