Home FA Cup HIZI HAPA ZIMETINGA HATUA YA NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

HIZI HAPA ZIMETINGA HATUA YA NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO


HIZI hapa zilizotinga hatua ya nusu fainali Kombe la Azam Sports Federation Cup
 Biashara United, ulishinda mabao 2-0 dhidi ya Namungo FC,  Uwanja wa Karume, Mara.

Yanga, ulishinda mabao 2-0 dhidi ya Mwadui FC, Uwanja wa Kambarage, Shinyanga. 

Azam FC ikishinda mabao 3-1 dhidi ya Rhino Rangers,  Uwanja wa Kambarage, Shinyanga. 

Simba, ilishinda mabao 3-0 dhidi ya Dodoma Jiji, Uwaja wa Mkapa.

Ngoma itachezwa namna hii

Azam FC v Simba, Songea, Uwanja wa Majimaji. 

Yanga v Biashara United,  Tabora, Uwanja wa Ali Hassan.

SOMA NA HII  DODOMA JIJI: HATUTAKUBALI KUFUNGWA TENA NA SIMBA