Home FA Cup FT:KOMBE LA SHIRIKISHO: SIMBA 1-0 AZAM FC

FT:KOMBE LA SHIRIKISHO: SIMBA 1-0 AZAM FC

Mapumziko, Uwanja wa Majimaji


Simba 0-0 Azam FC

Zinaongezwa dk 2
Dk 44 Bocco anaotea
Dk 41 Luis anapiga kona kwa Simba inaokolewa na Lyanga

Dk 39 Kigonya anapeleka mashambulizi kwa Manula

Dk 30 Azam FC wanapata kona ya kwanza

Dk 23 Kigonya anapeleka mashambulizi Simba

Dk ya 17 Lwanga anaonyeshwa kadi ya njano

Dk ya 16 Lwanga anafanya jaribio linakwenda nje ya 18

Dk ya 14 Daniel Amoah anaonyeshwa kadi ya njano baada ya kuonekana akimchezea faulo kiungo wa Simba Luis

Dakika ya 13 Kapombe anamchezea faulo winga Nado
Dakika ya 9 Chama anapiga kona ya kwanza kwa Simba inaokolewa na Kigonya

Dakika ya 6 Agrey Morris anapiga faulo ya kwanza kwa Azam FC inakwenda nje ya lango

Dakika ya 5 Chirwa anachezewa faulo na beki wa Simba, Pascal Wawa

Dakika ya 4, Mzamiru Yassin anafanya jaribio la kwanza kwa pasi ya John Bocco linakwenda nje ya 18

Prince Dube wa Azam FC amekosekana kwenye mchezo wa leo huku kwa Simba, Chris Mugalu akikosekana pia kutokana na kusumbuliwa na majeruhi.

Dakika 2 Tshablala anapeleka mashambulizi Azam FC

Dakika ya 1 Chama anapiga faulo ya kwanza kwa Simba inaokolewa na ukuta wa Azam FC

Uwanja wa Majimaji, Songea

Nusu fainali, Shirikisho

Simba 0-0 Azam FC

 Seleman Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa anatambua mchezo wa leo dhidi ya Azam FC wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho utakuwa mgumu ila watapambana kupata matokeo chanya ili kutinga hatua ya nusu fainali.

Vivier Bahati, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa wanawaheshimu wapinzani wao ila wapo tayari kupata matokeo.

Ikumbukwe kwamba mshindi wa mchezo wa leo Uwanja wa Majimaji atakutana na Yanga kwenye mchezo wa fainali.

SOMA NA HII  MWENDO WA MCHAKAMCHAKA LEO MWADUI vs YANGA