KIKOSI cha Simba leo kimekwea pipa kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa 2021/22. Nyota wao Luis Miquissone hakuwa miongoni mwa wachezaji na anatajwa kuibukia nchini Misri ambapo atajiunga na Al Ahly.
KIKOSI cha Simba leo kimekwea pipa kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa 2021/22. Nyota wao Luis Miquissone hakuwa miongoni mwa wachezaji na anatajwa kuibukia nchini Misri ambapo atajiunga na Al Ahly.