TIMU mbili kutoka Tanzania, Simba na Yanga zimeweka kambi nchini Morocco kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2021/22. Wakati wa kwenda mazoezini timu zote zimeonekana zikitumia gari lenye muonekano mmoja sawa na rangi nchini Morocco.
TIMU mbili kutoka Tanzania, Simba na Yanga zimeweka kambi nchini Morocco kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2021/22. Wakati wa kwenda mazoezini timu zote zimeonekana zikitumia gari lenye muonekano mmoja sawa na rangi nchini Morocco.