Home news FT: YANGA 0-1 RIVERS UNITED…YANGA WATEPETA NYANG’A NYANG’A TAIFA

FT: YANGA 0-1 RIVERS UNITED…YANGA WATEPETA NYANG’A NYANG’A TAIFA

 


UWANJA wa Mkapa

Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali

Kipindi cha kwanza


Yanga 0-0 Rivers United 

Dakika ya 44 Rivers United wanapeleka mashambulizi Yanga 

Dakika ya 42 Rivers United wanafanya jaribio ndanibya 18 linalenga nje ya lango

Dakika ya 37 Moloko anapiga kona inaokolewa na Rivers United 

Dakika ya 35 Makambo anapewa huduma ya kwanza 

Dakika ya 30 Yacouba anapiga of target ya pili kwa pasi safi ya Feisal Salum 

Dakika ya 22 Moloko anaotea

Dakika ya 20 Adeyum anapiga faulo inakuwa ni off target 

Dakika ya 19 Fei Toto anachezewa faulo na nyota wa Rivers United 

Dakika ya 17 Mauya anamchezea faulo nahodha wa Rivers United na anaonyeshwa kadi ya njano 

Dakika ya 16 Kibwana anapewa jukumu la kupeleka mashambulizi Rivers United 

Dakika ya 14 Makambo anapeleka kwa Kibwana Shomari 

Dakika ya 12 Yanga wanapiga kona ya pili haileti matunda kwa Yanga 

Dakika ya 10 Rivers United wanapeleka mashambulizi Yanga yanaokolewa na Diarra Djigui 

Dakika ya 9 Mauya anapeleka maji Rivers United yanaokolewa

Dakkka ya 7 Yanga wanafanya jaribio linaokolewa na beki

Dakika ya 4 Adeyum anapewa huduma ya kwanza.

Dakika ya 2 Mauya anafanya jaribio halileti matunda kwa Yanga

SOMA NA HII  TFF 'YAIBA' TUZO ZA LUIS MIQUISONE NA CHAMA....BOCCO NA 'FEI TOTO' WATAJWA