Home news HILI HAPA JESHI LA SIMBA LEO DHIDI YA YANGA KWA MKAPA

HILI HAPA JESHI LA SIMBA LEO DHIDI YA YANGA KWA MKAPA

338
0


KIKOSI cha Simba kinachotarajiwa kuanza leo Uwanja wa Mkapa katika mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga.

Mchezo unatarajiwa kuanza saa 11:00 jioni ambapo ni mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 27, kikosi kitakuwa namna hii:-

 Aishi Manula

Shomari Kapombe

Joash Onyango

Pascal Wawa

Mohamed Hussein

Sakho

Kanoute

Rarry Bwalya

Taddeo Lwanga

Chris Mugalu