HUU hapa ni muonekano wa basi jipya la Simba kwa ajili ya timu ya Wanaume ambalo litatumika msimu wa 2021/22.
Basi hili ni moja kati ya yale matatu ambayo Simba imepewa kutoka kwa wadhamini wake Africarriers.
Lina siti za kutosha na kuna TV ndani, USB Cable pamoja na friji.