Mshambuliaji wa Liverpool Sadio Mane ameamua kuondoka klabuni hapo majira haya ya kiangazi saqbabu kubwa ikitajwqa kuwa anataka kutafuta changamoto mpya.
Mane ameitumikia Liverpool kwa takribani miaka 6 na katika kipindi hicho ametwaa kila taji na majoogoo wa jiji.
Mabingwa wa Ujerumani Bayern Munich ndio wanatajwa sana kuwania saini ya mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal.
Mane alijiuna n Liverpool akitokea Southampton ambau mbali na mengin