Home Habari za michezo WAKATI SIMBA WAKITAMBA KWA UBORA…YANGA WAIFUNIKA KWA JEZI BORA AFRIKA NZIMA…

WAKATI SIMBA WAKITAMBA KWA UBORA…YANGA WAIFUNIKA KWA JEZI BORA AFRIKA NZIMA…

Jezi ya nyumbani ya @yangasc imetajwa kama moja kati ya jezi bora za vilabu vya mpira barani Afrika ikiwa inashika nafasi pili nyuma ya jezi ya Zamalek SC @zscofficial ya nchini Misri.

Jezi hiyo ya Yanga imetajwa kama moja ya jezi zilizotengenezwa kwa ubora wa hali ya juu pamoja na ubunifu wa kipekee ambao ulifanywa na @sheriangowi .

Jezi ya Simba ‘third kit’ nayo haijabaki nyuma kwani imetajwa kama jezi namba 9 kwa ubora barani Afrika.

Taarifa hizi zimetolewa na ukurasa maarufu wa michezo barani Afrika unaojulikana kama @africasoccerzone .

Je, ni ipi jezi bora zaidi kwako katika hizo 10 zilizoorodheshwa na mtandao huo? tuandikie kwenye comments hapo chini.

SOMA NA HII  YANGA WAKUMBWA NA BALAA,GOMES MWENDO MDUNDO NDANI YA CHAMPIONI JUMATANO