Habari za michezo

SIMBA WAFANYA MAAMUZI KWA MZAMIRU YASSIN…WAKENYA WAMBEBA ONYANGO…

admin November 5, 2022 7:30 pm

Kiungo Mtanzania Mzamiru Yassin ametajwa kuwa mshindi wa Tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Oktoba wa Simba SC akiwashinda Beki Joash Onyango pamoja na Kiungo Mshambuliaji Augustine Okrah.

Mzamiru ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo hiyo kwa kupigiwa kura nyingi na Mashabiki wa Simba SC, kupitia Tovuti ya Klabu hiyo.

Simba SC imethibitisha na kumtanzania Kiungo huyo kupitia kurasa zake za Mitandao ya Kijamii: Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) mwezi Oktoba inakwenda kwa Mzamiru Yassin.

MATOLA : NIMECHOKA KUGEUZWA KICHAKA CHA MATATIZO SIMBA….NINA NDOTO ZANGU NA MIMI… KUELEKEA MECHI NA WAARABU….YANGA WASOPOZINGATIA HAYA WALA WASIJISUMBE…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply