HIKI HAPA KIKOSI CHA TAIFA STARS MECHI DHIDI YA UGANDA
Marce Ben KombaMarch 24, 20235:10 pm
Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” kinashuka dimbani katika Uwanja wa Suez Canal katika mji wa Ismailia
kuwakabili Timu ya Taifa ya Uganda mchezo wa kuwania kufuzu AFCON2023.
Taifa Stars inahitaji alama tatu kwa udi na uvumba katika mchezo huo ili kufufua matumaini ya kusonga mbele
Hiki hapa Kikosi cha Stars kinachoanza mchezo wa leo;
Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.