Habari za Simba SC
Michezo

RAISI WA SIMBA MO DEWJI AFANYA KUFURU HASWAAA…MECHI YA TAIFA STARS VS UGANDA

Marce Ben Komba March 27, 2023 3:53 pm

Rais wa heshima, Mohammed Dewji amenunua tiketi 5,000 kwa ajili mashabiki katika mchezo wa kuwania kufuzu AFCON kati ya
Tanzania na Uganda utakaopigwa kesho katika Uwanja wa Benjamini Mkapa majira ya saa 2:00 usiku.

Wengine ni mfadhali wetu wa zamani, Azim Dewji amenunua tiketi 1,000, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Abdallah na Mwenyekiti wa klabu, Murtaza Mangungu kwa pamoja wamenunuavg

WATUNISA KUMBEBA MAYELE YANGA….ISHU NZIMA IKO HIVI… KUHUSU ISHU YA NABI KUSEPA YANGA….MAZITO YAIBUKA…KIGOGO JANGWANI AANIKA A-Z JAMBO LILIVYO…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply