Tetesi za Usajili Bongo
Habari za michezo

KOCHA YANGA “MNATAKA KUMUONA MORISSON?…MTAMUONA ATAKAPOFUNGA

Marce Ben Komba March 30, 2023 8:07 am

Kocha Mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi amesema katika mchezo dhidi ya TP Mazembe atamtumia winga wake Bernard Morisson ambae amekuwa nje ya Uwanja kwa kipindi kirefu.

Akizungumza Kocha Nabi amesema;

“Mwanzo Morrison sikumtumia kwa kuwa alikuwa na programu maalum ya kujiweka sawa, pia kulikuwa na watu wameingia kwenye mfumo na ukizingatia tulikuwa tunatafuta kufuzu Robo fainali, ila kwa sasa anaweza kuanza kucheza na mtamuona.”

Yanga wana mchezo wa hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya TP Mazembe April 2.

SIMBA KUFANYIWA FIGISU MOROCCO…WAPEWA RATIBA HII NGUMU…MECHI DHIDI YA RAJA CA TSHABALALA ‘OUT’ DHIDI YA RAJA….HAWA HAPA MASTAA WENGINE 6 WA SIMBA WATAKAOKOSEKANA..

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply