Habari za Yanga
Habari za Yanga

YANGA SC 1-0 TP MAZEMBE…WANANCHI WAKAA KILELENI…MAZEMBE WAPIGWA CHA UCHUNGU

Marce Ben Komba April 3, 2023 8:47 am

Wawakilishi wa Tanzania Katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Timu ya Yanga imehitimisha michezo yake ya hatua ya Makundi kwa kushusha dozi katika Uwanja wa Stade Mazembe kwa kuwaadhibu wenyeji TP Mazembe bao 1-0.

Bao pekee katika mchezo huo limefungwa na Farid Musa alieingia kutokea benchi akichukua nafasi ya Kiungo Mudathir Yahaya Abbas.

Ushindi huo unawapeleka Yanga mpaka kileleni mwa msimamo wa Kundi D, huku wakisubiri mchezo kati ya US Monastir dhidi ya Real Bamako.

Msimamo wa kundi D ulivyo mpk hivi sasa

Yanga Michezo -6 alama 13
Us Monastir Michezo -5 alama 10
Real Bamako Michezo-5 alama 5
Tp Mazembe Michezo-6 alama 3

Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza uliopigwa kwa Mkapa Yanga walishinda mabao 3-1.

KISA TUZO ZA KINA CHAMA….SIMBA WAVIMBA NA CAF… YANGA YAWEKA REKODI HII MPYA…HAKUNA TIMU ILIYOWAHI…AFRIKA YATETEMA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6131

Leave a Reply