STAA STARS AKUMBWA NA MAJANGA HAYA UBELGIJI...ISHU NZIMA HII HAPA
Habari za michezo

MCHEZAJI STARS AKUMBWA NA MAJANGA HAYA UBELGIJI…ISHU NZIMA HII HAPA

Marce Ben Komba April 25, 2023 6:34 pm

Kiraka wa timu ya Taifa Tanzania Novartus Dismas amepata majanga kwa klabu yake ya Zulte Waregem kuteremka Daraja la Ligi Kuu ya Ubelgiji baada ya msimu wa ligi hiyo kumalizika jana na Zulte kukubali kichapo cha mabao 3-2.

Ligi hiyo imemalizika kwa timu za Oostende iliyomaliza msimu na alama 27, Zulte alama 27 na RFC seraing nayo ikimaliza msimu na alama 20 kuteremka daraja.

KUHUSU FUJO ZA MASHABIKI NA KUWASHA MOSHI UWANJANI….SIMBA SC WAISHITAKI WYDAD CAF… KWA MARA YA KWANZA…NAHODHA YANGA AFUNGUKA SIRI HII YA KUWACHAPA RIVERS

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply