Cristiano Ronaldo, ambaye alijiunga na klabu ya Al-Nassr ya Saudi Arabia katikati ya msimu, ameendelea kuwa gumzo kwa mashabiki.
Kulingana na jarida la El Desmarque, Al-Muammar, rais wa Al-Nassr, alionyesha hasira yake na uchezaji wa Ronaldo katika mahojiano na ArabiaNews50.
“Nimelaghaiwa mara mbili tu maishani mwangu. Ya kwanza ilikuwa wakati niliagiza kebab tatu na ninapokea mbili kati. Mara ya pili ilikuwa ni kumsajili Cristiano Ronaldo.”