Habari za michezo
KOCHA MPYA WA YANGA ATUA BONGO KIBABE, AJA NA MPANGO HUU
Staff Desk
July 8, 2023
11:30 am
Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga,Miguel Angel Gamondi amewasili Nchini Alfajiri ya leo tayari kwa maandalizi ya kambi ya kujiandaa na Msimu Mpya yatakayoanza Jumatatu ya wiki ijayo.
Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga,Miguel Angel Gamondi amewasili Nchini Alfajiri ya leo tayari kwa maandalizi ya kambi ya kujiandaa na Msimu Mpya yatakayoanza Jumatatu ya wiki ijayo. Kocha huyo rasmi ataanza kazi Rasmi Julai 10 kambini Avic Town na Wachezaji watakaoingia kambini siku ya kwanza.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.