Golikipa wa Simba SC chaguo la Pili David Kakolanya kujiunga na Azam FC
Habari za michezo

SINGIDA FOUNTAIN GATE YAIONYESHA SIMBA JEURI YA PESA, YAIFANYIA KITU MBEYA KIKOSI CHA SIMBA

Staff Desk July 9, 2023 10:45 am

Ushawishi wa pesa umeendelea kuwa kivutio kikubwa sana kwa klab hiyo yenye maskani yake Mkoani Singida,

Beno kakolanya alikuwa tayari kuongeza Mkataba ndani ya kikosi cha Simba, baada ya kupewa ofa ya klab ya Singida basi ilimlazimu Mkataba Mpya aliopewa na Simba SC kuuweka ndani ya begi na kuuzingatia zaidi wa Singida.

Simba Sc walimtengea Tsh Milioni 45, ikapanda hadi 50 na Mshahara wa Milioni 5, huku Singida wakimpa Tsh Milioni 100 na Mshahara wa Tsh.Milioni 6 kwa Mwezi, kwa miaka miwili,

Sasa tayari hawa wametoka Simba na kutua Singida FG,

Beno kakolanya

Joash Onyango

Huku Yahaya Mbegu usajili wake ukizuiliwa na Matajiri hao wa Alizeti kwa ushawishi wa ofa nzuri zaidi ya ile ya Simba SC na Julai 8 ametambulishwa Singida.

MWANASHERIA WA YANGA ALAMBA DILI FIFA,… YANGA WATIA NENO ALIYEMFUKUZISHA ONYANGO SIMBA NAEAKUTWA NA JAMBO HILI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply