MGUNDA SIMBA TUNAUTAKA UBINGWA LIGI KUU..."POINTI TULIZOPITWA NI CHACHE SANA...HAIJAISHA MPAKA IWE IMEISHA KABISA
Habari za michezo

MGUNDA SIMBA MAMBO SAFI ,APATA DILI HILI

Staff Desk July 28, 2023 3:49 pm

Uongozi wa klabu ya Simba umemtangaza kocha Juma Mgunda kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa timu za vijana na pia ataingia katika timu zote za Simba kama mshauri.

Uongozi wa klabu ya Simba umemtangaza kocha Juma Mgunda kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa timu za vijana na pia ataingia katika timu zote za Simba kama mshauri. Akitoa taarifa hiyo Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Imani Kajula amesema Kocha Mgunda ana uzoefu mkubwa atatumika katika timu za vijana,timu ya wanawake na hata timu ya kubwa ya Simba SC.

HUKO YANGA MAMBO NI MOTO, SKUDU, NZEGELI WAPEWA MTIHANI HUU KUMBE THANK YOU HAZIJAISHA HUKO SIMBA, HUYU HAPA WA KIMATAIFA NAE KAPEWA YAKE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply