Habari za Yanga SC
Habari za michezo

KWA HILI YANGA HII IMESHAKUWA BALAA

Staff Desk August 31, 2023 11:29 am

Yanga juzi walicheza mchezo wao wa pili Ligi Kuu Bara wakifanikiwa kichapa JKT Tanzania mabao 5-0.

Kwa idadi hiyo kubwa ya magoli 5 unaweza kufikiri kwamba JKT Tanzania walikuwa dhaifu hapana.

JKT Tanzania walikuwa bora katika mchezo wa juzi kuanzia dakika ya kwanza, makosa yao machache waliyoyafanya katika mchezo yakawaponza

Matokeo haya yanatoa picha halisi ya uimara wa Timu ya Miguel Gamondi ambae ameonekana kuiboresha timu hiyo kila kukicha.

Hivyo ni tahadhari kwa wale wanaotaka kuifunga Yanga msimu huu wanapaswa kufanya kazi ya ziada.

Nyota wengi wageni wameleta kitu kipya, huku wale waliokuwepo wakijitahidi kuboresha viwango vyao.Kwa mfano Stephen Aziz Ki, Ibrahim Bacca na wengine wengi.

NABI AITABIRIA MAKUBWA YANGA YA GAMONDI GAMONDI AVUNJA UKIMYA, AFUNGUKA HAYA KUHUSU KONKAN

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply