Habari za Simba
Habari za michezo

TSHABALALA,KAPOMBE HALITETE WASAIDIWE

Staff Desk September 21, 2023 2:11 pm

Kocha wa Zamani wa Simba SC Jamhuri Kiwelu Julio amefunguka kuhusu swala la mabeki waaandamizi Shomary Kapombe na Mohammed Hussein kuwa wamechoka yeye anaamini ninkweli wamechoka na wanahitaji kusaidiwa na Vijana nao wapate nafasi ya kucheza angalau dakika 45.

Israel Mwenda pamoja David Kameta ‘Duchu’ ni Vijana na Wana uwezo wa kucheza hata kama hawatapewa nafasi wote kwa pamoja basi angalau mmoja au wapewe angalau dakika 45 maana tunaona hata ulaya mpira kwa sasa unachezwa na Vijana wadogo kuanzia miaka 18-25 kwahiyo ni wakati wa Vijana kupewa nafasi.

“Tshabalala na Kapombe wanachoka waanze kupewa dakika 45 kipindi waingie angalau mmoja acheze wanapaswa kupewa nafasi”Kocha wa Zamani wa Simba Julio

YANGA YAPATA MAJANGA, LOMALISA OUT BALEKE ATOA AHADI HII LEO DHIDI YA COASTAL  UNION…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply