Home Habari za michezo MAYELE HALI IMEBADILIKA PYRAMIDS

MAYELE HALI IMEBADILIKA PYRAMIDS

Straika wa zamani wa Yanga Fiston Mayele ameendelea kuwa na mwanzo mbaya Pyramids baada ya kucheza mechi mbili za ligi bila kufunga wala kupiga shuti lililolenga goli/on target/kacheza dakika 91 kwenye mechi mbili za ligi mpaka sasa(vs Zamalek na National Bank)

SOMA NA HII  NTIBAZONKIZA AFUNGUKA KILICHOMFANYA AENDELEE KUBAKI KATIKA KLABU YA SIMBA

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here