Habari za michezo

SIMBA NA YAHYA MBEGU MPAKA KIELEWEKE

Staff Desk October 18, 2023 3:55 pm

Taarifa kutoka ndani ya Klabu ya Simba zinasema kuwa, viongozi wa timu hiyo bado wanaendelea kufuatilia kwa karibu Kiwango cha Yahya Mbegu wa Singida Fountain Gates.

Ikumbukwe kuwa Simba hapo awali walikuwa wakihitaji huduma ya beki huyo wakushoto lakini Yeye aliamua Kujiunga na Singida Fountain Gate mwanzoni mwa msimu huu.

Mbegu anatazamiwa kwenda Simba kuwa msaidizi wa Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ kwenye safu ya ulinzi hususan beki wa kushoto.

MWANA FA AWEKA WAZI WALICHOCHANGIA SIMBA JOB AMTULIZA MAZIMA CHE MALONE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply