KAZE MAMBO MENGINE YANUKIA IHEFU
Baada ya kuachana na Kocha kutoka nchini Uganda Moses Basena, uongozi wa Klabu ya Ihefu FC huenda ukamtwaa aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Young Africans…
Baada ya kuachana na Kocha kutoka nchini Uganda Moses Basena, uongozi wa Klabu ya Ihefu FC huenda ukamtwaa aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Young Africans…
Sare ya 0-0 leo kwenye mchezo wa raundi ya 13 kati ya Prisona dhidi ya Ihefu imeifanya ihefu kufikisha siku 60 bila kuonja ushinda kwenye…
Kikosi cha Simba SC leo Oktoba 28 watakuwa na kibarua mbele ya Mbogo Maji kutoka kule Mbeya Kikosi cha hefu mchezo wa Ligi Kuu Tanzania…
Taarifa kutoka ndani ya Klabu ya Simba zinasema kuwa, viongozi wa timu hiyo bado wanaendelea kufuatilia kwa karibu Kiwango cha Yahya Mbegu wa Singida Fountain…
ZUBER Katwila, aliyekuwa kwenye benchi Uwanja wa Highland Estate ubao uliposoma Ihefu 2-1 Yanga anatajwa kuwa katikà hesabu za mabosi wake wa zamani Mtibwa Sugar.…
Saa chache baada ya klabu ya Ihefu kutangaza kuachana na kocha wake Zuberi Katwila mwenyewe amefunguka juu ya uamuzi huo akisema ameamua kuachana salama na…
Kipigo cha bao 1-0 ilichopewa Ihefu kutoka kwa KMC ikiwa ni siku chache tu tangu iizime Yanga, kimemfanya kocha mkuu wa timu hiyo ya jijini…
Wananchi wanatoka vichwa chini Highland Estates. Kwa mara nyingine tena highland Estates uwanja mgumu kwa Wananchi, wanadondosha alama tatu kama ilivyokua msimu uliopita. Yangasc walifanya…
Uongozi wa Yanga umesema ligi bado ndefu hivyo bado nafasi ipo kufanya vizuri mechi zinazofuata. Oktoba 4, 2023 ubao wa Uwanja wa Highland Estate ulisoma…
Jana usiku Klabu ya Yanga sc ‘Wananchi’ walifika salama jijini Mbeya tayari kwa mchezo wa ligi kuu ya NBC ambao unatarajiwa kupigwa Oktoba 04, 2023…