Home Habari za michezo MECHI YA YANGA YAAHIRISHWA Habari za michezoMichezoMichezo BongoMichezo Soka la BongonewsUncategorizedYanga SC MECHI YA YANGA YAAHIRISHWA By Staff Desk - October 21, 2023 1237 0 Mchezo wa Kirafiki kati ya Yanga na Mlandege uliopangwa kuchezwa leo saa 03:30 asubuhi huko Avic Town umeahirishwa. Kwa mujibu wa taarifa Yanga waliomba mchezo huo wa kirafiki lakini kutokana na ratiba ya Mlandege kubana wameamua kutocheza.