Habari za michezo

KUTOKA TANZANIA,BURUNDI MPAKA BAYERN MUNICH

Staff Desk November 19, 2023 10:06 am

Shirikisho la Soka la Burundi bado linatumai kumshawishi Nestory Irankunda kuchezea nchi ya wazazi wake baada ya kijana huyo kukubali kuhamia kwa wababe wa Ujerumani Bayern Munich.

Fowadi huyo wa Adelaide United mwenye umri wa miaka 17 alizaliwa katika kambi ya wakimbizi nchini Tanzania na sasa anaishi Australia, na ameiwakilisha nchi hiyo katika ngazi ya chini ya miaka 17.

Tayari amekuwa sehemu ya kikosi cha Australia, baada ya kuwa mbadala wa Socceroos wakati wa mechi mbili za kirafiki dhidi ya Ecuador mwezi Machi.

“Tungependa achezee Burundi lakini ana ndiye mwenye uamuzi wa mwisho – anaweza au asije kucheza kwa niaba yetu,” rais wa FA wa Burundi Alexandre Muyenge aliambia BBC Sport Africa.

WABELGIJI WAMFUATA MAXI MAN CITY, CHELSEA MAMBO SIO MAMBO TENA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply