Habari za michezo

KAMA ULIVYOSIKIA SIMBA WAKUBALI KIPIGO DADIKA ZA LALASALAMA

Staff Desk December 10, 2023 8:44 am

Wekundu wa Msimbazi, Timu ya Simba SC imekubali kichapo cha 1-0 ugenini dhidi ya wenyeji Wydad Casablanca na kuporomoshwa mpaka mkiani mwa msimamo wa kundi B.

Mchezo huo wa hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika umepiga katika Dimba la Marrakesh nchini Morocco.

Bao pekee la Wydad katika mchezo huo limefungwa na Zakaria Draoui dakika ya 90+5′, na kuwapa ushindi wa kwanza Wydad.

MSIMAMO KUNDI B

Asec (pointi 7)

Jwaneng (4)

Wydad (3)

Simba SC (2)

YANGA YAONGEZA WATATU MABOSI WAITANA MEZANI,GAMONDI AWAPA RAMANI NGAO YA JAMII BAADA YA YANGA KUKIBALI KIPIGO SASA NI SIMBA NA JKT

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6131

Leave a Reply