Habari za michezo

NGAO YA JAMII BAADA YA YANGA KUKIBALI KIPIGO SASA NI SIMBA NA JKT

Staff Desk December 10, 2023 8:49 am

Timu za JKT Queens na Simba Queens zitakutana katika Fainali ya Ngao ya Jamii kuelekea msimu mpya wa Ligi ya Wanawake Tanzania Bara baada ya kuzitoa Fountain Gate Princess na Yanga Princess leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam.

Timu za JKT Queens na Simba Queens zitakutana katika Fainali ya Ngao ya Jamii kuelekea msimu mpya wa Ligi ya Wanawake Tanzania Bara baada ya kuzitoa Fountain Gate Princess na Yanga Princess leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Mabingwa wa Ligi Kuu na Afrika Mashariki na Katí, JKT Queens wameichapa Fountain Gate Princess mabao 5-0, wakati Simba Queens wameitoa Yanga Princess kwa penalti 5-4 kufuatia sare ya 0-0.

KAMA ULIVYOSIKIA SIMBA WAKUBALI KIPIGO DADIKA ZA LALASALAMA WAGOSI WATAMBA MBELE YA KAGERA SUGAR LIGI KUU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6131

Leave a Reply