Habari za Michezo
Habari za michezo

TAKWIMU ZA MISIMU 5…SIMBA NA YANGA HEAD 2 HEAD

Abubakar October 14, 2024 11:00 am

Kwa takribani misimu mitano ya nyuma klabu ya Yanga imekuwa tishio dhidi ya Simba haswa pale miamva hii inapokutana uwanjani.

Kwenye michezo 10 waliyocheza ndani ya misimu 5, Yanga wameshinda michezo 4, Simba ameshinda mara 1 na wametoa sare 5.

Takwimu hizo ni kama ifuatavyo;

Msimu 2023/24

• Simba 1-5 Yanga (Novemba 5)

Yanga2-1 Simba (Aprili 20)

Msimu wa 2022/23

Yanga 1-1 Simba (Oktoba 23)

• Simba 2-0 Yanga (Aprili 16)

Msimu wa 2021/22

• Simba 0-0 Yanga (Desemba 11)

Yanga 0-0 Simba (Apri 30)

Msimu wa 2020/21

Yanga 1-1 Simba (Novemba 7)

• Simba 0-1 Yanga (Julai 13)

Msimu wa 2019/20

• Simba 2-2 Yanga (Jan 4)

Yanga 1-0 Simba (machi 8

ASALALEKI… GAMONDI NA FADLU PRESHA YA DABI YAWAINGIA. HABARI NJEMA KWA SIMBA… HAMZA ATULIZA PRESHA YA DABI