“Tumewaambia wachezaji wasikae sana kwenye huzuni ya matokeo ya nyuma. Sasa tunapaswa kuangalia mchezo unaofuata dhidi ya Mbeya City na kuhakikisha tunapata matokeo mazuri,” alisema.
Singida Black Stars ambayo ipo nafasi ya 10 katika msimamo wa ligi ikiwa na pointi 19 imeshuka dimbani mara 13.