Home Authors Posts by Abubakar

Abubakar

1083 POSTS 0 COMMENTS

ATEBA: NITAFUNGA SANA SIMBA…MASHABIKI WATULIZWA

0
STRAIKA mpya wa Simba, Leonel Ateba, ameahidi kufunga mabao mengi akiwa na klabu hiyo, akiwaambia mashabiki kuwa huu ni msimu wa ushindi na mataji...

ENDAPO AZAM WAKIMTAKA MGUNDA, MIL 20 BENKI

0
WAKATI jana viongozi wa Azam FC wakitangaza kufikia makubaliano ya pande mbili kuachana na Kocha Youssouph Dabo raia wa Senegal sambamba na wasaidizi wake...

SINGIDA BS WAMJIBU MWENDA…ATAKIWA KULIPA MIL 500

0
Uongozi wa Singida Black Stars umemtumia barua Israel Mwenda na uongozi wake wote pamoja na nakala kwa  Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF. Barua...

HALMASHAURI KUJENGA VIWANJA VYAO…SIMBA NA YANGA VICHEKO TU

0
Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo inafikiria kuzielekeza Mamlaka bajeti zao kwa ajili ya kutekeleza miradi ya ujenzi wa viwanja vya michezo kwa maeneo...

MWENDA AFUNGUKA SAKATA LAKE…NINA HELA YA KUTUMIA..WAMEVUNJA MAKUBALIANO

0
BAADA YA Soka la Bongo kuripoti juu ya taarifa za Aliyewahi kuwa mchezaji wa Simba, beki wa kulia Israel Mwenda, ambaye tulieleza kwamba amepanga...

SIMBA KUCHEZA MECHI YA KIRAFIKI WIKIENDI HII

0
KLABU ya Simba inatarajia kucheza mechi ya kirafiki wikiendi hii kabla ya kusafiri kwenda Libya kucheza mechi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho dhidi...

RAIS SAMIA AMWAGA MAMILION TAIFA STARS…SIMBA, YANGA NA AZAM WAUNGANA

0
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa, alisema Rais Samia Suluhu Hassan ataungana na vilabu vya Simba, Yanga na Azam...

GAMONDI AVUNJA MAPUMZIKO YANGA…CBE WANA KAZI YA KUFANYA

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, ameamua kutovunja kambi, badala yake ameendelea na mazoezi na kikosi kilichobaki, baada ya wachezaji 14 wa timu hiyo...

MBINU 3 ZA KUIZUIA YANGA…SIMBA, AZAM ZAJIPANGA

0
UMEKUWA ukijiuliza Yanga chini ya Miguel Gamondi wanafanikiwa wapi ndani ya uwanja, hadi kutembeza kichapo cha mabao mengi kwa wapinzani wake, ikumbukwe Yanga kwenye...

MOURINHO ARUDI YANGA…MAISHA YAKE NJE YA SOKA

0
Siku naongea na Edna Lema Mourinho wa Bongo mara ya kwanza sikujua kama anaweza kwenda Kuishi na kufundisha team ya wanaume tena mkoani Mara. Alikubali...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS