Abubakar
SIMBA HARAKA WAANZA KUTAFUTA STRAIKA LA MABAO
BAADA ya mechi ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga na kuchapwa bao 1-0, viongozi wa Simba na Kocha Mkuu, Fadlu...
MAXI NZENGELI APANDISHA MZUKA…KUWAFUNGA SIMBA
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Maxi Nzengeli amesema timu yake ina wachezaji wengi wenye ubora huku akimtaja Pacome Zouzoua na kuweka wazi kuwa kuifunga Simba...
FAINALI YA KISASI LEO…YANGA VS AZAM FC
Leo kuna uhondo mwingine katika mechi hiyo ya kisasi kwa timu hizo mbili zilizomaliza nafasi mbili za juu za Ligi Kuu Bara msimu uliopita.
Yanga...
CHADRACK BOKA ATULIZA PRESHA YANGA…INSHU YAKE ILIKUWA HIVI
BEKI mpya wa kushoto wa Yanga, Chadrack Boka sasa kila kitu freshi Jangwani baada ya mabosi wa klabu hiyo kumalizana kabisa na FC Lupopo...
SIMBA WALIKOSEA HAPA WAKAFUNGWA NA YANGA
Umeliona lile bao la Yanga lililowapa ushindi muhimu wa bao 1-0 dhidi ya Simba? basi tambua kwamba zile ndio pasi nyingi pekee zilizopigwa mfululizo...
HAKIMU MECHI YA YANGA FAINALI HUYU HAPA
Ahmed Arajiga kutoka Manyara, ameteuliwa kuchezesha fainali ya Ngao ya jamii kati ya Yanga dhidi ya Azam utakaopigwa kesho Jumapili kwenye Uwanja wa Benjamin...
KMC WADAI MIL 200 KWA AWESU…SIMBA WAJIWEKA KITANZI WENYEWE
MWANASHERIA wa KMC FC ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi wa timu hiyo, Cheaf Said amesema kiungo Awesu Awesu bado ni mchezaji wao halali...
MZIMU WA MIGOGORO SIMBA WARUDI…ZAMU YA VALENTINO
SIMBA ni kama kuna harufu mbaya inazunguka pale mitaa ya Msimbazi kutokana na migogoro ya wachezaji wa ndani.
Mjadala ulanza kwa mchezaji Lameck Lawi, ukaja...
HANS RAFAEL…SIMBA IMEPATA MTU SANA…KUHUSU DEBORA FERNANDES MAVAMBO
Uchambuzi wa Hans Rafael wa Crown Media kuhusu mchezaji mpya wa Simba, kiungo wa kazi Debora Fernandes Mavambo ambapo, Rafael alimchambua mchezaji huyo kwa...
KAULI ZA KIBABE, MASHABIKI WA SIMBA WAJIMALIZA
Baada ya kipigo cha tatu mfululizo cha bao 1-0 kwenye nusu fainali ya Ngao ya Jamii, miongoni mwa mashabiki wa Simba SC wamekubali ubora...