Home Authors Posts by Abubakar

Abubakar

1085 POSTS 0 COMMENTS

SIMBA YACHUKUA MWINGINE IVORY COAST…CHAMOU KARABOUE…PIA YATAMBULISHA TEKA LA MAGOLI

0
KLABU YA SIMBA Simba wamefikia makubaliano na Racing Club Abidjan ya Ivory Coast kwa ajili ya kupata huduma ya beki wa kati, Chamou Karaboue,...

RAJA CASABLANCA IPO SIMBA..FADLU DAVIDS KOCHA MPYA ANAYETAMBA NA MIFUMO HII

0
Ni kama Raja imehamia Msimbazi kwani ukiachana na kocha mkuu wa wakali hao wa Morocco, Inaelezwa kwamba Fadlu Davids anayepewa nafasi kubwa zaidi kujiunga...

LAMECK LAWI HUYOO ULAYA…SIMBA YAKUBALI YAISHE

0
LAMECK LAWI na Coastal Union wapo kwenye mchakato wa mwisho wa kukamilisha vibali vya Beki huyo kusafiri kuelekea nchini Ubelgiji ambapo inatarajiwa atajiunga na...

AHMED ALLY AFUNGUKA SAKATA LA AISHI MANULA KWENDA AZAM FC.

0
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally ameweka wazi hatma ya mlinda mlango wao mzawa Aishi Manula ambaye anahusishwa...

SAFARI YA ABDULRAZACK HAMZA KUTOKA AFRIKA KUSINI…HADI SIMBA

0
UONGOZI wa Klabu ya Simba Julai 4 jana ulitangaza usajili wa beki wa kati Abdulrazack Hamza kutoka Super Sport ya Afrika Kusini kwa mkataba...

JEAN BALEKE ANUKIA ZAIDI YANGA…GUEDE APEWA THANK YOU

0
HUENDA Hizi zikawa ni taarifa za kushtukiza kwa mashabiki wa soka nchini, kwamba baada ya Yanga kumbeba Clatous Chama kutoka Simba na Prince Dube...

AHMED ALLY ATEMA CHECHE USAJILI WA AHOUA…KUHUSU HATMA YA JOBE AWEKA...

0
AFISA HABARI wa Simba Ahmed Ally amesema kwamba usajili wa MVP wa Ivory Coast ulikuwa na vita kubwa sana, lakini pia ameweka wazi juu...

MKWASA ATAJA NAMNA CHAMA ATAKAVYOMFUKIZISHA KAZI GAMONDI.

0
ALIYEWAHI kuwa kocha mkuu wa Yanga Charles Mkwasa amezungumzia inshu ya usajili  wa Clatous Chama kwenda Yanga. Clatous Chama amejiunga na Yanga kwa mkataba wa...

HATMA YA TAIFA STARS AFCON KUJULIKANA LEO

0
Timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' inaweza kupangwa katika kundi gumu au mchekea kwenye droo itakayochezeshwa leo Afrika Kusini ya upangaji wa makundi...

MTAPATA TABU SANA…GAMONDI MPAKA 2026 PALE YANGA 

0
Yanga SC imepanga kumuongezea mkataba wa miaka miwili kocha raia wa Argentina Miguel Gamondi utakaomalizika mwaka 2026. Yanga wamefikia hatua hiyo baada ya kuridhishwa na...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS