admin
KUMBE MWINYI ZAHERA ALIIBUKIA KAMBI YA YANGA
ALIYEWAHI kuwa Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera, inaelezwa kuwa alivamia kambi ya timu yake hiyo ya zamani kwa ajili ya kwenda kusalimia wachezaji wa...
NYOTA YANGA AUKACHA MPIRA, AIBUKIA KWENYE MASUALA YA UKULIMA
NYOTA wa zamani wa Klabu ya Yanga, Malimi Busungu ambaye aliwika sana na kikosi hicho mara baada ya kusajiliwa amesema kuwa kwa sasa anafanya...
KAGERE HATIHATI KUIKOSA YANGA NOVEMBA 7, ISHU YA MUGALU IPO HIVI
MSHAMBULIAJI namba moja wa Klabu ya Simba kunahatihati akaikosa Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Novemba 7 Uwanja wa Mkapa.Kagere ametupia...
ZILIZOSHUKA LIGI KUU BARA ZINA MAISHA MAGUMU FDL
TIMU nne ambazo zilikuwa zinashiriki Ligi Kuu Bara maisha yao ndani ya Ligi Daraja la Kwanza, (FDL) ni magumu kwa kuwa bado hazijaonyesha matumaini...
HESABU ZA FOUNTAIN GATE NI NDEFU KWELI
UONGOZI wa timu ya Fountain Gate umeweka bayana kuwa maisha yao ndani ya Ligi Daraja la Kwanza hayatakuwa marefu kwa kuwa mpango wao namba moja...
SIMBA YAIBAMIZA KAGERA SUGAR, YATUMA SALAMU KWA YANGA
KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck leo Novemba 4 kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo...
TIMU YA TAIFA YA WANAWAKE YAPIGA MTU MKONO AFRIKA KUSINI
Saleh JembeLEO Novemba 4 kikosi cha Timu ya Wasichana chini ya Miaka 17 cha Tanzania kimeibuka na ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Comoros...
VPL: SIMBA 2-0 KAGERA SUGAR
KIKOSI cha Simba kimetangulia leo ndani ya dakika 45 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara Uwanja wa Uhuru dhidi ya Kagera Sugar.Kwa sasa tayari...
KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA KAGERA SUGAR
KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo Novemba 4 dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Uhuru.
KICHAPO CHA MABAO 11 MWADUI HATA HAWAELEWI SABABU
KOCHA wa Klabu ya Mwadui, Khalid Adam amefunguka kuwa mpaka sasa bado hajajua tatizo ni nini ndani ya kikosi chake, kiasi cha kupelekea kufungwa...