admin
KESHO NDANI YA CHAMPIONI IJUMAA USIPANGE KUKOSA NAKALA YAKO
Kesho ndani ya Championi Ijumaa usikose nakala yako
YANGA YAIVUTIA KASI SIMBA, CHIMBO LAKE LIPO HUKU KWA SASA
MABINGWA wa kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara bado wapowapo kwa sasa ndani ya ngome ya Kagera baada ya kuitungua bao 1-0 Uwanja wa...
NAMUNGO WAANZA SAFARI KUIFUATA SAHARE ALL STARS, TANGA
BAADA ya kikosi cha Namungo kilicho chini ya Kocha Mkuu, Hitimana Thierykulazimisha sare ya bila kufungana na Simba, leo kimeanza safari kuelekea Tanga kuifuata...
LEO LIGI KUU BARA KUENDELEA, HAWA HAPA WANNE KUSHUKA UWANJANI
LEO Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ambapo timu nne zitakuwa kazini kusaka pointi tatu muhimu kwenye viwanja viwili tofauti.Alliance FC iliyo nafasi ya 17...
ZLATAN WA AC MILAN AJIPA VYEO VIKUBWA VITATU
ZLATAN Ibrahimovic, nyota anayekipiga ndani ya Klabu ya AC Milan amejipa vyeo vikubwa vitatu kwa wakati mmoja kwa kusema yeye ni rais, mchezaji na...
MABINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA SIMBA WATUA DAR NA KOMBE...
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wametua Dar wakitokea Lindi ambapo walikuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo.Kwenye mchezo...
MUUAJI WA SIMBA AREJEA KWA KISHINDO, BALAA LAKE LAMFANYA KOCHA ATABASAMU
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji ndani ya Klabu ya Yanga amerejea na makali yake yaleyale ya siku zote jambo ambalo limempa tabasamu Kocha Mkuu wa...
NAHODHA WA SIMBA JOHN BOCCO AFICHUA KILICHO NYUMA YA UBINGWA, LEO...
JOHN Bocco, nahodha wa Simba ambao ni Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara mara tatu mfululizo amesema kuwa kikubwa kilichowapa ushindi mapema ni ushirikiano...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Alhamisi
HIKI NDICHO WANACHOKIFANYA YANGA ILI NIYONZIMA AIWAHI SIMBA
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa anafanya maombi ili kiungo wake Haruna Niyonzima awe fiti Julai 12 Kwenye mechi dhidi ya Simba,...