admin
MANULA AZIKUMBUKA KELELE ZA MASHABIKI BONGO, ALIA NA CORONA
AISHI Manula mlinda mlango namba moja wa Klabu ya Simba amesema kuwa kwa sasa amezikumbuka kelele za mashabiki wake uwanjani ila anashindwa kuziskia kutokana...
SINGIDA UNITED WAWA MABALOZI WA HIYARI KUPAMBANA NA CORONA
UONGOZI wa Singida United umesema kuwa kwa kipindi hiki kigumu cha maambukizi ya Virusi vya Corona wameamua kuwa mabalozi kwa jamii ili kupambana kwa...
MTUPIAJI ANAYEWINDWA NA YANGA ANAPIGA MOJA KUBWA
DARUWESH Saliboko, nyota anayewindwa na Klabu ya Yanga amesema kuwa kwa sasa anapiga mazoezi mara moja kwa wiki ili kulinda kipaji chake.Nyota huyo anayekipiga...
SANCHEZ KUREJEA MILAN WIKI HII
STAA wa Klabu ya Inter Milan, Alexis Sanchez wiki hii anatarajiwa kurejea jijini Milan akitokea nchini kwao Chile baada ya kupewa ruhusu licha ya...
MO HAELEWIELEWI INAKUAJEKUAJE NDANI YA SIMBA
MOHAMED Rashid, mshambuliaji wa Simba anayekipiga kwa mkopo ndani ya Klabu ya JKT Tanzania amesema kuwa bado hajazungumza na mabosi wake kuhusu hatma ya...
JESE RODRIGUEZ AFIKIRIA KUREJEA PSG
JESE Rodriguez, mshambuliaji wa Klabu ya PSG anayekipiga ndani ya Klabu ya Sporting Lisbon kwa mkopo yupo kwenye mpango wa kurejea kwenye klabu yake...
MSHAMBULIAJI AZAM FC AZIDI KUJINOA AKIWA NYUMBANI
MBARAKA Yusuph, mshambuliaji wa Azam FC amesema kuwa kwa sasa anaendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona huku akifanya mazoezi binafsi akiwa nyumbani.Akizungumza...
MTUPIAJI NAMBA MOJA POLISI TANZANIA AKUBALI KUWAGA WINO YANGA
SIXTUS Sabilo, mshambuliaji wa Klabu ya Polisi Tanzania amesema kuwa yupo tayari kusaini ndani ya klabu ya Yanga iwapo watafuata utaratibu wa kuipata saini...
AZAM FC YACHEKELEA KUKAMILISHA UKARABATI WA UWANJA WAO
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa tayari ukarabati wa Uwanja wa Azam Complex umekamilika asilimia zote ukiwa sawa na ule wa TP Mazembe.Akizungumza na...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTIXTRA ALHAMISI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTIXTRA Alhamisi