admin
MABOSI YANGA WAWASHUSHA PRESHA MASHABIKI WAO KUHUSU KIUNGO WAO ALIYEWASUMBUA SIMBA
IMEELEZWA kuwa mkataba wa kiungo wa timu ya Yanga, Feisal Salum bado ni mrefu jambo linalowapa wakati mgumu timu zinazoiwinda saini yake kuipata saini...
ISHU YA MFUMANIA NYAVU WA NAMUNGO KUTUA YANGA IPO NAMNA HII
AHMAD Kassim ‘Prezdaa’, Meneja wa Mshambuliaji wa Namungo, Reliants Lusajo amesema kuwa wapo tayari kufanya kazi na Yanga kama watamhitaji mchezaji wake.Lusajo ambaye ni...
DROO YA KWANZA JISHINDIE GARI YAFANYIKA LEO, WATATU WASEPA NA ZAWADI...
DROO ya Kwanza ya Shindano la Jishindie Gari inayoendeshwa na Kampuni ya Global Group kupitia magazeti yake ya michezo ya Championi na Spoti Xtra...
TANZIA; ASHA MUHAJI, ALIYEKUWA OFISA HABARI WA SIMBA AFARIKI DUNIA
ASHA Muhaji, mwandishi mwandamizi wa michezo nchini amefariki dunia leo alipokuwa akipatiwa huduma ya afya.Asha aliwahi Ofisa Habari wa Klabu ya Simba amekutwa na...
KOCHA SIMBA ATAJA SABABU YA MAKOCHA KUWA NA PRESHA
KOCHA Msaidizi wa Simba FC, Selemani Matola amesema kuwa makocha wengi wanaozinoa klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara, wanaishi kwa presha kwa kuwa hawana...
NIYONZIMA ACHEKELEA MAISHA YAKE NDANI YA YANGA
HARUNA Niyonzima, kiungo mshambuliaji ndani ya Yanga amesema kuwa kwa sasa anafurahia maisha ndani ya klabu hiyo kutokana na sapoti anayopata kutoka kwa wachezaji...
SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU ISHU YA TSHISHIMBI
BAADA ya nahodha wa Yanga, Papy Tshishimbi kusema kuwa hajaongeza kandarasi ndani ya klabu yake hiyo uongozi wa Simba umesema kuwa unatamani siku moja...
BARCELONA SASA KUMUUZA NYOTA WAO GRIEZMANN ILI KUPATA MKWANJA
BARCELONA ipo tayari kumuingiza sokoni mshambuliaji Antoine Griezmann lengo likiwa ni kupata kipato kwa ajili ya usajili ujao.Virusi vya Corona vinavyosababisha Ugonjwa wa Covid...