admin
LUC EYMAEL AUCHAMBUA UBORA WA SIMBA…
Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael ambaye ndiye mwenye kauli ya mwisho kwenye benchi la ufundi la Yanga, amefunguka kuwa wapinzani wao Simba ni...
NAKUKUMBUSHA WAZIRI LUKUVI, MIUNDOMBINU IELEKEE KWA KINA SAMATTA WAPYA
NA SALEH ALLYHIVI karibuni Serikali Ya tanzania imeeleza namna ambavyo imefanya vizuri katika kutatua migogoro ya ardhi ikionekana ni kipindi ambacho mwafaka umepatikana kuliko...
SABABU YA MBELGIJI KUMRUDISHA AJIBU SIMBA B, HIZI HAPA….
Kutokana na kutokuwa na uhakika wa nafasi katika kikosi cha kwanza cha Simba, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Ibarahim Ajibu, pamoja na wenzake wasiokuwa...
NAMUNGO YATAJA KINACHOWABEBA WAKIWA NDANI YA UWANJA WA MAJALIWA
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo amesema kuwa sababu kubwa inayowafanya wapete wakiwa Uwanja wa Majaliwa ni sapoti ya mashabiki.Namungo kwenye mechi 14 za...
BALAA LA MEDDIE KAGERE LIMEJIFICHA KIPINDI HIKI UWANJANI
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba mwenye mabao 19 ndani ya Ligi Kuu Bara amekuwa na hatari ndani ya kipindi cha pili kuliko cha kwanza...
SINGIDA UNITED YASEPA NA POINTI TATU BAADA YA KUPITISHA DAKIKA 1,080
SINGIDA United inayopambana kujinusuru kushuka Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 15 baada ya kucheza mechi 29 nafasi ya 20 imeambulia ushindi wa baada...
YANGA: SIMBA WANATUHUJUMU, NI NDANI YA CHAMPIONI JUMATATU, NDINGA INAKUHUSU
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumatatu, nafasi ni kubwa kwako kushinda ndiga mpya
UJUMBE HUU HAPA WA SALEH JEMBE KWA MASHABIKI WA SIMBA LICHA...
UJUMBE huu kwa mashabiki wa Simba na Yanga kutoka kwa Saleh Jembe:- Hongera sana mashabiki wa Simba, kwani licha ya kipigo cha bao 1-0...
ISHU YA NYOTA SITA WA YANGA KUGOMEA MECHI YA NAMUNGO IPO...
YANGA wakati inalazimisha sare ya kufungana bao 1-1 ilikosa huduma ya wachezaji wake sita wa kikosi cha kwanza huku taarifa zikieleza kuwa wamegoma ndani...
NAMUNGO: TULIWAHESHIMU YANGA
BIGIRIMANA Blaise, mshambuliaji wa Namungo FC amesema kuwa walingia uwanjani wakiwaheshimu Yanga jambo lililowapa hali ya kujiamini na kuweza kugawana nao pointi mojamoja kwa...