Home Authors Posts by admin

admin

25198 POSTS 9 COMMENTS

AKILI ZA MBELGIJI WA YANGA EYMAEL ZIPO NAMNA HII

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa kuna umuhimu wa kikosi chake kuwa na makali ya kushindana na timu zote Bongo ikiwa ni...

MANCHESTER UNITED WAIPIGIA HESABU SAINI YA NYOTA GREALISH WA ASTON VILLA

0
NAHODHA wa kikosi cha Aston Villa, Jack Grealish amewekwa kwenye hesabu kali za kutua ndani ya Klabu ya Manchester United ili kuongeza nguvu kwenye...

KANE APIGWA STOP KUSEPA NDANI YA SPURS

0
MKONGWE ndani ya Liverpool, John Barnes amemshauri staa wa Tottenham Hotspur, Harry Kane kubaki ndani ya timu hiyo.Kumekuwa na taarifa kwamba nyota huyo anampango...

MUUAJI WA SIMBA AMTAJA MKE WAKE KUHUSIKA KWENYE MABAO YAKE YOTE...

0
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa anatupia mabao kutokana na maombi anayofanyiwa na mke wake pamoja na mwanae.Morrisson ametua Yanga kwenye dirisha...

KAGERE AFUNGUKIA KILICHO NYUMA YA MABAO YAKE

0
MTAMBO wa kutupia ndani ya Simba, Meddie Kagere amesema kuwa chanzo kikubwa cha yeye kufunga hat trick kwenye mechi zao ni kutokana na msukumo...

NAMUNGO WABISHI KWELI, CHEKI WANAVYOKULA SAHANI MOJA NA YANGA

0
TIMU ya Namungo iliyo chini ya Kocha Mkuu, Hitimana Thiery imeshinda idadi ya mechi 14 ambazo ni sawa na ilizoshinda Yanga msimu huu wa...

MTAMBO WA MABAO NDANI YA AZAM FC AINGIA KWENYE RADA ZA...

0
IMEELEZWA kuwa uongozi wa Yanga upo kwenye mpango wa kumrejesha kundini mshambuliaji wao wa zamani Obrey Chirwa anayekipiga ndani ya Azam FC.Chirwa kwa sasa...

SIMBA SASA WAANZA KUMVUTIA KASI NYOTA ANAYEKIPIGA MALAYSIA

0
KIPRE Tchetche, nyota wa zamani wa Azam FC anayekipiga Klabu ya Kedah inayoshiriki Ligi Kuu ya Malaysia amewekwa kwenye rada za Simba ilikuongeza nguvu...

YANGA YAINGIA ANGA ZA MZAWA HUYU KUWA MBADALA WA UBUTU WA...

0
IMEELEZWA kuwa mshambuliaji mzawa namba moja ndani ya Namungo FC, Reliants Lusajo amewekwa kwenye rada na mabosi wa Yanga ili kuinasa saini yake kwa...

WATATU WAGUNDULIKA NA CORONA NDANI YA JUVENTUS, HALI BADO HAIJAWA SHWARI

0
MSHAMBULIAJI wa Juventus, Paulo Dybala anakuwa mchezaji wa tatu kugundulika na Virusi vya Corona ndani ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya Italia, Serie...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS