admin
KOCHA SIMBA AMCHANA STRAIKA YANGA
ALIYEWAHI kuwa kocha wa Simba, Jamhuri Kihwelu ‘Julio’ amemuangalia straika Muivory Coast, Yikpe Gnamien ambaye Yanga wanatamba naye, akasonya kwa sauti na kukunja sura...
HAZARD AREJESHA MATUMAINI REAL MADRID
STAA wa Real Madrid, Eden Hazard, ameanza kufanya mazoezi ya uwanjani baada ya kuwa nje kwa muda mrefu akiuguza majeraha.Hazard alianza mazoezi hayo juzi...
KISA SIMBA, KOCHA YANGA AKIWASHA TENA, AWATAJA TFF
Kocha Mkuu wa Yanga amefunguka machache kuhusiana na matokeo ya mchezo baina ya Simba dhidi ya Namungo FC ambayo yalikuwa ni ushindi wa mabao...
MORRISON MWINGINE KUSHUSHWA YANGA
WAKATI nyota wa Yanga raia wa Ghana, Bernard Morrison, akiendelea kuwafanya wapenzi wa timu hiyo washindwe kuamini anachofanya uwanjani, kocha mkuu wa Yanga, Luc...
STRAIKA ALIYEZUA GUMZO NCHINI AAMUA KUJIFUNGA, SABABU NI ….
Baada ya kuonyesha vitu adimu vilivyomkosha kila Mwanayanga na kuwaumiza wapinzani, straika wa Yanga, Bernard Morrison, ameingia chimbo kutengeneza dawa ya mabeki jeuri.Morrison aliyetua...
NAMNA ULIVYO MZUKA WA SAMATTA KUELEKEA MECHI NA MAN CITY
STRAIKA ghali zaidi Afrika Mashariki, Mbwana Samatta, Jumanne ijayo anaanza kukipiga ndani ya klabu yake mpya ya Aston Villa.Habari za mchezaji huyo kukinukisha ndani...
IFIKE WAKATI MAKOCHA ISHU YA LAWAMA ZIFIKE MWISHO
MAKOCHA wengi wa Bongo wanapenda sana kujisifia kwa kazi nzuri lakini wanakuwa wagumu kukubali pale wanapokosea. Hayo yapo kwa kila binadamu, wengi wetu hatutaki kukubali...
SAMATTA KUTUA LIGI KUU ENGLAND AMEACHA DENI KUBWA
NAHODHA wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, ni mchezaji halali wa Aston Villa inayoshiriki Ligi Kuu England na tayari ameanza kazi kwenye kikosi hicho. Aston Villa...
MBELGIJI WA SIMBA AWAKA KINOMA, AWAPA MAKAVU WACHEZAJI WAKE
SVEN Vanderboeck raia wa Ubelgiji, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachezaji wake wanashindwa kutumia nafasi wakiwa ndani ya 18 jambo ambalo linawapa ugumu...
AZAM FC YAIPANIA MTIBWA SUGAR LEO, YAWAITA MASHABIKI
JAFARY Manganga, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa mashabiki wajitokeze kwa wingi Uwanja wa Uhuru kuipa sapoti timu hiyo itakapomenyana na Mtibwa Sugar.Azam...