admin
FAMILIA YAPINGA MAHAKAMANI WOSIA WA MENGI, MAZITO YAIBUKA
FAMILIA ya aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Limited, Marehemu Dkt. Reginald Mengi imewasilisha pingamizi katika Mahakama Kuu, ikipinga wosia wa Mengi aliouandika...
NJEMBA ANASWA NA VIDEO 555 ZA NGONO
RAIA mmoja wa Colombia ambaye jina lake halikutajwa, ameshikwa na polisi wa Hispania akiwa na video 555 zenye kuonyesha sehemu za siri za wanawake...
MABADILIKO MENGINE LIGI KUU BARA YAFANYWA, KUHUSU IDADI YA TIMU, MENGINENO...
Mabadiliko ya kanuni za Ligi Kuu Bara kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania.
YULE MKAZI WA DAR ES SALAAM ALIYELAMBA MKWANJA WA SPORTPESA
Mkazi wa Dar es Salaam, Yusuph Rajabu Changuvu akikabidhiwa mfano wa hundi ya shilingi 6,330,966 baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 11 kati ya...
HILI HAPA JESHI ZIMA LA MAUAJI LA LIPULI FC MSIMU MPYA
HILI hapa Jeshi Kamili la mauaji la Lipuli FC kwa msimu mpya wa mwaka 2019/20
LIGI NDIYO INAANZA, KUNA MENGI YA KUJIFUNZA
LIGI Kuu Bara msimu wa 2019/20 inatarajiwa kuanza wikiendi hii kwa baadhi ya timu kupambana kwenye viwanja tofauti baada ya mchezo wa Ngao ya...
KISA BODI YA LIGI, MASAU BWIRE AIGOMEA YANGA ATOA ONYO
Na George Mganga,Dar es SalaamOfisa Habari wa klabu ya Ruvu Shooting, Masau Bwire, ameionya Bodi ya Ligi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TPLB) kutoanza...
STRAIKA YANGA: YANGA WAMEIFUNIKA SIMBA
WAKATI kikosi cha Yanga kikitarajia kushuka uwanjani Jumamosi ya wiki hii huko nchini Botswana, safu ya ulinzi ya timu hiyo imetajwa kuwa ndiyo itakayokuwa...
SIMBA KUILIPIA YANGA KIKAO NA WAANDISHI
Na George Mganga,Dar es SalaamUongozi wa Simba kupitia Ofisa Habari wake, Haji Manara, umesema utalipia gharama za kikao na waandishi wa habari ambacho wamedhamiria...
REKODI YAOBEBA SIMBA CAF
ZIKIWA zimebaki takribani siku nne kabla ya Simba kuivaa UD do Songo kutoka Msumbuji, rekodi zinaonyesha kuwa Simba wana asilimia kubwa ya kuibuka na...