VUGUVUVUGU LA MACHI 8 LAWAZIBA MDOMO SIMBA
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kuelekea Machi 8 hautakuwa na maneno mengi zaidi ya kuwataka mashabiki wakutane uwanjani kuongea kwa vitendo.Machi 8 kutakuwa na pambano…
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kuelekea Machi 8 hautakuwa na maneno mengi zaidi ya kuwataka mashabiki wakutane uwanjani kuongea kwa vitendo.Machi 8 kutakuwa na pambano…
MUONEKANO wa UKURASA wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumamosi
IDD Cheche, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa makosa waliyoyafanya kwenye mchezo wao uliopita dhidi ya Ndanda FC wameyafanyia kazi hivyo watawavaa wapinzani wao…
YUSUPH Mhilu, mshambuliaji namba moja ndani ya Kagera Sugar amesema kuwa wapo tayari kusepa na pointi tatu mbele ya JKT Tanzania mchezo wa Ligi Kuu…
UONGOZI wa Biashara United umesema kuwa utatumia nguvu nyingi kuizuia safu ya ushambuliaji ya Simba inayoongozwa na Meddie Kagere na John Bocco kushindwa kuwapa maumivu.Biashara…
GERALD Mdamu, mshambuliji wa Mwadui FC amesema kuwa wachezaji wana morali ya kupambana mbele ya Mbao FC mchezo utakaochezwa Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.Mdamu ametupia…
HARUNA Harerimana, Kocha Mkuu wa KMC amesema kuwa wachezaji wake leo wanatakiwa kufuata malekezo yake mwanzo mwisho ili kushinda mbele ya Ndanda FC.KMC ilikubali kichapo…
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa baada ya kupata sare ya bila kufungana na Tanzania Prisons leo ana imani ya kupata matokeo…
RUVU Shooting iliyo nafasi ya 10 na pointi zake 32 kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara leo itakaribishwa na Polisi Tanzania Uwanja wa Ushirika…
LIONEL Messi, mshambuliaji wa Barcelona amesema kuwa siku ya Alhamisi kwake hupenda kukaa na familia ili kuyajenga masuala mengi yanayowahusu.Messi kwenye La Liga ametupia jumla…