Home Authors Posts by admin

admin

25373 POSTS 9 COMMENTS

WATU WAENDELEA KUCHOTA MIKWANJA YA MAANA KUTOKA SPORTPESA BONGO

0
Mshindi wa Jackpot Bonus Barikiwa Akson Kasekwa akikabidhiwa hundi ya shilingi 7,187,699/= mara baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 12 kati ya 13 kwenye...

STARS YABEBA MATUMAINI MAKUBWA

0
MBWANA Samatta, nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania amesema kuwa wachezaji wanatambua kazi kubwa ambayo wametumwa na Taifa kwa ajili ya kupeperusha bendera...

INAUMA!!! MTOTO MBEYA AIBWA KIMAFIA

0
MBEYA: INAUMA sana! Ni maneno ambayo mtu yeyote anayejua uchungu wa mtoto anaweza kuyatamka kutokana na mtoto Herieth Ismail mwenye umri wa miezi sita...

KAZI IMEANZA, MBELGIJI APANGUA KIKOSI SIMBA

0
Kocha Mkuu wa Simba Mbelgiji, Patrick Aussems amesema kuwa anataka kuona timu yake inapata ushindi wa mabao kuanzia matatu hadi matano kwenye michezo ijayo...

BAADA YA MAPITO MAZITO, HAWA NITAREJEA AMTAMANI DIAMOND

0
Anaitwa Hawa Mayoka lakini wengi wanapenda kumuita Hawa Nitarejea. Mwanadada huyu amepitia wakati mgumu baada ya kuugua lakini Mungu akamsimamisha tena.Ukibahatika kuzungumza naye lazima...

STARS WAONDOKA KIBABE KUWAFUATA BURUNDI KWAO

0
Wachezaji wa Timu ya Taifa wameondoka leo asubuhi Septemba 3, 2019 kuelekea nchini Burundi kwenye mchezo wa kutafuta tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia...

SIMBA WAWATAKA MASHABIKI WAKE WAISHANGILIE ZESCO UNITED

0
Uongozi wa klabu ya Simba kupitia Ofisa Habari wake Haji Manara, umewataka mashabiki wake kuipa sapoti Zesco United watakapocheza dhidi ya Yanga kwenye mechi...

NDAYIRAGIJE AFUNGUKA KUHUSIANA NA TAIFA LAKE LA BURUNDI LITAKALOKABILIANA NA STARS...

0
Kimu Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Etienne Ndayiragije amewaambia Warundi kuwa yupo kazini, hivyo wasitarajie huruma yoyote kutoka kwake.Ndayiragije...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS